NTAMWETE EMPIRE

NINI KIFANYIKE NA NI IPI HATMA YA SIMBA SC KWENYE SHIRIKISHO AFRIKA

Listen on

Episode notes

Makundi ya klabu shiriki kwenye mashindano ya vilabu barani Afrika tayari yamepangwa na wawakilishi pekee ya Tanzania kwenye mashindano hayo Simba SC wamepangwa kundi D pamoja na Gendarmerie ya Niger, Asec Mimosas ya Ivory Coast pamoja na RS Berkane ya Morocco.Ni jambo gani lifanyike ili Simba SC waweze kufika hatua ya Robo Finali?