SBS Swahili - SBS Swahili

Polisi wamtambua mshambuliaji katika mauaji ya watu wengi ambako watu sita walifariki

Listen on

Episode notes

Jeshi la polisi la New South Wales lime anza uchunguzi kwa shambulizi la kisu, lililo wauwa watu sita ndani ya soko kubwa katika vitongoji vya mashariki ya Sydney.