SBS Swahili - SBS Swahili

Taarifa ya Habari 19 Aprili 2024

Listen on

Episode notes

Waziri Mkuu ame sisitiza umuhimu wa mshikamano wakijamii nchini Australia, kufuatia uchunguzi kwa shambulizi lakigaidi la kudungwa kisu ndani ya kanisa wiki hii.