SBS Swahili - SBS Swahili

Taarifa ya Habari 15 Aprili 2024

Listen on

Episode notes

Polisi wamesema mwanaume aliye uwa watu sita kwa kuwadunga kisu ndani ya soko la Westfield Bondi Junction, ali waepuka wanaume kimakusudi nakuwalenga wanawake na watoto.